Friday, 24 November 2017

MKESHA WA PARISHI





Shalom shalom 

        karibu katika mkesha wa VIJANA parish utakao kutanisha vijana kutoka makanisa mbalimbali ya fpct parish ya nyakato mkesha utafanyika  FPCT KANGAE KISIMANI KWA MCHUNGAJI KALOGI(mwanza) kwa ambao wanataka kuhudhulia na kufika mahali apo kumtumikia Mungu wetu wa mbinguni tafadhari wasiliana na 

KHATIBU VIJANA FPCT NYAKATO

 O756734219

Sunday, 15 October 2017

JUMAPILI YA WIKI YA VIJANA

MWL;JAMES KALEKWA
SOMO;NANI ANAE FATA?

Inapaswa kulijenga taifa la baadae kwa kuwajenga vijana katika nyanja mbalimbali mf.Kiuchumu,kihuduma n.k
Maana hao ndio wamelibeba taifa la baadae.
´Muhubiri 2;18-23
´ISAYA 2:2-3
´1 WAFALME 2:1-4
note. Maendeleo bila muendelezaji sio maendeleo

Wednesday, 11 October 2017

SOMO;MAMBO YA MSINGI YA KUYAJUA/KUZINGATIA KATIKA UTUMISHI

                                      SIKU YA TATU

 REJEA (KUTOKA 23;25)
-Kila kitu ambacho Mungu anakifunua mbele yetu kinakusudi ili tusije kuumia 

MUENDELEZO WA SOMO LA SIKU YA TATU

        1.Utumishi bila mahusiano na                   mwenyetumishi(MUNGU)ni kazi bure

      MARKO 3;13-14

NOTE;
     -Ukifanya kazi ya mwenyekazi bila kuwa na uhusiano na mwenye kazi hutapata faida ya chochote ILa ukiwa na uhusiano mzuri na mwenye kazi utapata faida KUBWA.

  2.Huwezi kutenganisha utumishi wenye tija      na utakatifu
    2wakoritho 7;1
  UTAKATIFU NI NINI?
           ==>NI kijitenga na uovu na kuwekeza nguvu zake ,akili,na mwili wake katika kutimiza kazi ya mungu
      point za muhimu kuhusu utakatifi

i/utakatifu unatafutwa

    ebrania 12;14 
    1 wakoritho 15;33

ii/utakatifu ni wakujizoeza
       2timotheo 10;3-7  
        2timotheo 2;2-22         
        1petro 2;11-12
3.unapotumika usimtumikie mtu ila Mungu pekee
4.kumtumikia mungu sio kigezo cha kukupleka mbiguni ila matendo yako
            wagalatia 5;10-24
            mathayo 7;19-23
            zaburi 100;2
     

SOMO:MWENDELEZO WA SIKU YA KWANZA

SIKU YA PILI YA SEMINA

NA MWL:VICTOR DEOGRATIUS

   -Anza kufanyia kazi kile ambacho kinachukua nafasi zaidi

                                       --ZABURI 36,ISAYA 35:10

****KUMTUMIKIA MUNGU NI NINI?

                               Ni kusimama na kutekeleza ajenda ya ufalme wa mungu mahali ulipo

*kitu chochote kinachofanywa bila kuwepo na utukufu wa Mungu hakina faida

                                 AINA ZA UTUMISHI

i/Utumishi katika mwili wakristo 

ii/utumishi katika nyumba ya Bwana

     1wakoritho 15;18 

      warumi 12;3-11

note(maandiko ya msingi wa neno)

            efeso 6;5-7 

            1wafalme 19;15 

            kutoka 31;1-4

          

Mungu mwema

MKESHA WA PARISHI