Wednesday, 11 October 2017

SOMO;MAMBO YA MSINGI YA KUYAJUA/KUZINGATIA KATIKA UTUMISHI

                                      SIKU YA TATU

 REJEA (KUTOKA 23;25)
-Kila kitu ambacho Mungu anakifunua mbele yetu kinakusudi ili tusije kuumia 

MUENDELEZO WA SOMO LA SIKU YA TATU

        1.Utumishi bila mahusiano na                   mwenyetumishi(MUNGU)ni kazi bure

      MARKO 3;13-14

NOTE;
     -Ukifanya kazi ya mwenyekazi bila kuwa na uhusiano na mwenye kazi hutapata faida ya chochote ILa ukiwa na uhusiano mzuri na mwenye kazi utapata faida KUBWA.

  2.Huwezi kutenganisha utumishi wenye tija      na utakatifu
    2wakoritho 7;1
  UTAKATIFU NI NINI?
           ==>NI kijitenga na uovu na kuwekeza nguvu zake ,akili,na mwili wake katika kutimiza kazi ya mungu
      point za muhimu kuhusu utakatifi

i/utakatifu unatafutwa

    ebrania 12;14 
    1 wakoritho 15;33

ii/utakatifu ni wakujizoeza
       2timotheo 10;3-7  
        2timotheo 2;2-22         
        1petro 2;11-12
3.unapotumika usimtumikie mtu ila Mungu pekee
4.kumtumikia mungu sio kigezo cha kukupleka mbiguni ila matendo yako
            wagalatia 5;10-24
            mathayo 7;19-23
            zaburi 100;2
     

No comments:

Post a Comment

Mungu mwema

MKESHA WA PARISHI