FPCT Professionals
by fpct
FPCT kwa kuzingatia umuhimu wa wanataaluma katika kanisa, imeamua kuanzisha kitengo chao maalumu ili kiwe kinatumia taaluma zao kusaidia kanisa katika nyanja mbalimbali, ikiwemo ushauri, maoni, mipango na namna ya kutatua changamoto katika kanisa.
KWA TAARIFA ZAID FOLLOW LINKI HII CHINI
http://fpct.or.tz/fpct-professionals/
No comments:
Post a Comment