Thursday, 5 October 2017

Utukufu upandapo uwepo unashuka.

Pichani ni kundi la kusifu na kuabudu (praise and worship team) FPCT Nyakato wakimtukuza na Kumsifu MUNGU katika ibada kuu ya jumapili ya tar 01 october iliyo kuwa na kichwa cha somo "Je utakumbukwa kwa lipi?" BY Pastor Samuel kutoka UKEREWE(UK)
Picha na EMMANUEL DAWSON

No comments:

Post a Comment

Mungu mwema

MKESHA WA PARISHI