Wednesday, 4 October 2017

ISAACK SINDUKA ANAANDIKA

MISINGI 6 YA KUWA NA FURAHA KATIKA MAISHA.

1- Usimchukie yeyote hata kama atakukosea sana.


2- Ishi maisha ya kawaida hata kama upo juu kimaisha.

3- Tarajia baraka hata kama magumu yanakusonga.


4- Toa hata kama wewe umenyimwa.

5- Onyesha tabasamu hata kama moyo unavuja damu.

6- Usiache kuwaombea wengine hata kama maombi yako hayajajibiwa.


Tafadhali usifute kabla hujatuma kwa unao wapenda na Mungu akupe wepesi wa kutuma na akuzidishie imani, upendo, umoja
 Mimi naanza na  wewe.
x

No comments:

Post a Comment

Mungu mwema

MKESHA WA PARISHI